Hii leo tumeangazia yaliyozungumziwa kwenye mkutano mkuu wa jinsia wa Afrika Mashariki jijini Nairobi, shirikisho la ...
Serikali ya Ufaransa imeingia makubaliano na Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan ya miaka minne ya kutoa huduma ya chanjo ya ...
Kenya inajiandaa vya kutosha kwa uwezekano wa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg (MVD) baada ya wagonjwa kadhaa ...
MBUNGE wa Jimbo la Kurya Magharibi nchini Kenya, Mathias Rhobi, amesema amani na usalama katika nchi ya Tanzania ni mfano wa kuigwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Aliambatana na viongozi wenzake ...
Mwanaharakati wa Tanzania Maria Sarungi Tsehai anasema alitekwa nchini Kenya na watu wanne wasiojulikana na baadaye kuachwa ...
NITAKUAMBIA kwa nini. Mara ya mwisho kuona kipindi cha TV kama Bongo Star Search (BSS) kinaanzia Tanzania kisha kinakuza mbawa zake kwenda nje ya mipaka ya TZ ni lini? Mimi hata sikumbuki.
Taarifa za kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi wa Tanzania zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii Jumapili jioni.
SERIKALI imesema inafanya jitihada ili Kituo cha Forodha cha Pamoja (OSBP) Kabanga, kinachotoa huduma kati ya Tanzania na ...
TANZANIA inatarajiwa kufanya makubwa kwenye sekta ya ajira na uwekezaji kutokana na Azimio la Dar es Salaam katika mkutano wa ...
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuvunja na kuandika rekodi ya kuwa Rais aliyepokea idadi kubwa ya Wakuu wa Nchi (35) ...
KIPYENGA cha kuanza mashindano ya mataifa ya Afrika (Afcon) kwa mwaka 2025 kilipulizwa mwanzoni mwa wiki hii jijini Rabat, ...