Bunge la seneti nchini Kenya, baadaye leo jioni linatarajiwa kupiga kura ya ndio au la, ya kumuondoa afisini naibu rais ...
NAIBU Rais wa Kenya, Rigath Gachagua amewahishwa hospitali mara baada ya kuumwa gafla wakati Bunge la Seneti likitarajia ...
Gachagua alitakiwa kujitetea mbele ya Bunge la Seneti mchana huu lakini wakati wake wa kujitokeza bungeni ulipofika, hakuwepo ...
Abadepite bashinja Rigathi Gachagua gukina politike y’ivanguramoko, gusuzugura guverinoma, no kwigwizaho imitungo biciye muri ...
GAVANA wa Kaunti ya Siaya nchini Kenya, Wakili Mwandamizi James Orengo ametetea msukumo wa kumwondoa Naibu Rais Rigathi ...
Bunge la Seneti nchini Kenya limeanza mchakato wa kusikiliza na kujadili mswada wa kutimuliwa ofisini kwa naibu wa Rais ...
Hapo jana, Jaji wa Mahakama Kuu Chacha Mwita amesema Mahakama ilitoa kibali kwa wabunge wa seneti kumuhoji Gachagua kwa mujibu wa katiba. Hali hii inakuja wakati Naibu Rais akikabiliwa na shinikizo ...
Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye ...
Bunge la Taifa limeanza mchakato wa kumshitaki na kumng’oa madarakani Naibu Rais Rigathi Gachagua, baada ya Spika wa Bunge ...
BAADHI ya wabunge nchini Kenya wana wasiwasi kuhusu usalama wao katika kipindi cha kuanza kujadili hoja ya kumtimua Makamu wa ...