Umoja wa Mataifa umetoa wito wa dharura wa kuchangisha dola milioni 11.2 kusaidia Uganda kukabiliana na mlipuko wa Ebola ...
Mgonjwa wa pili wa Ebola, mtoto wa miaka 4, amefariki nchini Uganda, Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema, likinukuu wizara ...
maafisa ncini Uganda wanasema msichana wa miaka 9 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo aliyethibitishwa kuwa na virusi vya Ebola Alhamisi amefariki Uganda akipokea matibabu. Maafisa wanaeleza ...
Daktari Mtanzania aliyekuwa akisoma nchini Uganda ni miongoni mwa waliofariki kutokana na virusi vya Ebola. Raia huyo huyo mwenye umri wa miaka 37 alikuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari ...