Rais wa DRC , Felix Tshisekedi, hatahudhuria mkutano usio wa kawaida wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais William Ruto wa Kenya kuhusu mgogoro wa mashariki mwa Congo.
NAIBU Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais DRC,, Giscard Kusema, amesema Rais Félix Tshisekedi hatahudhuria mkutano wa EAC ...
Ni kwa sababu kila lawama ya anguko la Chadema, alitupiwa Mbowe. Uchaguzi ulioharibiwa wa serikali za mitaa 2019, Uchaguzi ...
Methane inayotolewa na mifugo huchangia takribani 15% ya uzalishaji wa hewa chafu duniani kila mwaka, makadirio ya Umoja wa ...
Rais wa Kenya, William Ruto, amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuhusu hali tete ya ...
Karibu wanawake 200 waliuawa nchini Kenya mwaka jana, katika matukio ya ukatili wa kijinsia. Idadi hii ambayo ni karibu mara ...
RAIS wa Kenya William Ruto ametangaza mkutano wa kilele wa EAC utajadili hatua za namna ya kutafuta utatuzi wa mgogoro ...
Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa mkutano wa kilele wa jumuiya ya kanda ya Afrika Mashariki utawajumuisha viongozi ...
Kupitia gazeti rasmi la serikali, rais wa Kenya, William Ruto, ameteua jopo ambalo litaendesha shughuli nzima ya kuwateua ...
Nairobi. Kenya, imekuwa kimbilio kwa usalama wa wakimbizi na watu wanaohitaji hifadhi kutoka nchi zao, hasa wale wanaokimbia udhalimu wa kisiasa. Hata hivyo, hali imeanza kubadilika kwa kasi na kuibua ...