Serikali ya Ufaransa imeingia makubaliano na Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan ya miaka minne ya kutoa huduma ya chanjo ya ...
Kenya, Uganda na Tanzania zote zimekaribisha uamuzi wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuahirisha michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) iliyocheleweshwa 2024 hadi Agosti 2025, ili kuruhusu ...
Kenya inajiandaa vya kutosha kwa uwezekano wa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg (MVD) baada ya wagonjwa kadhaa ...
Dodoma. Waziri Mkuu na Mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya maandalizi ya fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) 2025 na fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2027, Kassim ...
MBUNGE wa Jimbo la Kurya Magharibi nchini Kenya, Mathias Rhobi, amesema amani na usalama katika nchi ya Tanzania ni mfano wa kuigwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Aliambatana na viongozi wenzake ...
Mwanaharakati wa Tanzania Maria Sarungi Tsehai anasema alitekwa nchini Kenya na watu wanne wasiojulikana na baadaye kuachwa ...
SERIKALI imesema inafanya jitihada ili Kituo cha Forodha cha Pamoja (OSBP) Kabanga, kinachotoa huduma kati ya Tanzania na ...
Taarifa za kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi wa Tanzania zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii Jumapili jioni.
TANZANIA inatarajiwa kufanya makubwa kwenye sekta ya ajira na uwekezaji kutokana na Azimio la Dar es Salaam katika mkutano wa ...
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuvunja na kuandika rekodi ya kuwa Rais aliyepokea idadi kubwa ya Wakuu wa Nchi (35) ...
KIPYENGA cha kuanza mashindano ya mataifa ya Afrika (Afcon) kwa mwaka 2025 kilipulizwa mwanzoni mwa wiki hii jijini Rabat, ...
KIPYENGA cha kuanza mashindano ya mataifa ya Afrika (Afcon) kwa mwaka 2025 kilipulizwa mwanzoni mwa wiki hii jijini Rabat, ...